Swali: Je, inahitajika kunyanyua mikono wakati wa Takbiyr zote?
Jibu:
1 – Wakati wa kuanza swalah.
2 – Wakati wa Rukuu´.
3 – Wakati wa kuinuka kutoka kwenye Rukuu´.
4 – Wakati wa kuinuka kutoka kwenye Tashahhud ya kwanza.
Katika maeneo haya manne.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24845/ما-مواضع-رفع-اليدين-في-تكبيرات-الصلاة
- Imechapishwa: 02/01/2025
Swali: Je, inahitajika kunyanyua mikono wakati wa Takbiyr zote?
Jibu:
1 – Wakati wa kuanza swalah.
2 – Wakati wa Rukuu´.
3 – Wakati wa kuinuka kutoka kwenye Rukuu´.
4 – Wakati wa kuinuka kutoka kwenye Tashahhud ya kwanza.
Katika maeneo haya manne.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24845/ما-مواضع-رفع-اليدين-في-تكبيرات-الصلاة
Imechapishwa: 02/01/2025
https://firqatunnajia.com/maeneo-manne-ambayo-inanyanyuliwa-mikono-ndani-ya-swalah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)