Swali: Vipi ikiwa mtu atasema:
لربي الحمد، لربي الحمد
”Himdi ni kwa Mola wangu, himdi ni kwa Mola wangu.”
bila kusema sifa nyingine nne zilizotajwa?
Jibu: Hapana vibaya juu yake. Hata hivyo kilicho bora ni kusema kile kilichoelezwa katika Hadiyth Swahiyh, kama kusema:
ربنا ولك الحمد
“Mola wetu, na himdi zote njema ni Zako.”[1]
na:
اللهم ربنا ولك الحمد
“Ee Allaah, Mola wetu, na himdi zote njema ni Zako.”[2]
Ni vyema mtu kuzingatia na kufuata yaliyotajwa katika Hadiyth ambazo ni Swahiyh.
[1] al-Bukhaariy (689) na Muslim (392).
[2] al-Bukhaariy (796).
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24848/حكم-قول-لربي-الحمد-عند-الرفع-من-الركوع
- Imechapishwa: 02/01/2025
Swali: Vipi ikiwa mtu atasema:
لربي الحمد، لربي الحمد
”Himdi ni kwa Mola wangu, himdi ni kwa Mola wangu.”
bila kusema sifa nyingine nne zilizotajwa?
Jibu: Hapana vibaya juu yake. Hata hivyo kilicho bora ni kusema kile kilichoelezwa katika Hadiyth Swahiyh, kama kusema:
ربنا ولك الحمد
“Mola wetu, na himdi zote njema ni Zako.”[1]
na:
اللهم ربنا ولك الحمد
“Ee Allaah, Mola wetu, na himdi zote njema ni Zako.”[2]
Ni vyema mtu kuzingatia na kufuata yaliyotajwa katika Hadiyth ambazo ni Swahiyh.
[1] al-Bukhaariy (689) na Muslim (392).
[2] al-Bukhaariy (796).
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24848/حكم-قول-لربي-الحمد-عند-الرفع-من-الركوع
Imechapishwa: 02/01/2025
https://firqatunnajia.com/kusema-lirabbiyya-al-hamd-wakati-wa-kuinuka-kwenye-rukuu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)