Swali: Mimi ni mtu ambaye mara kwa mara natokwa na madhiy. Je, ni lazima kwangu pindi ninapotokwa na madhiy kuosha nguo zangu kwa sababu inakuwa vigumu kwangu kujiepusha nayo?
Jibu: Ndio, ni lazima kurashia [maji juu yake]. Madhiy ni najisi nyepesi. Inatosha kurashia. Lakini ni lazima kuosha dhakari na uke. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Osha dhakari na uke wako.”
Hekima – na Allaah ndiye mjuzi zaidi – ni kuepusha [madhara] katika mijira ya kutolea mkojo. Kwa hivyo nguo ikipatwa na kitu basi inatakiwa kurashiwa maji.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (20)
- Imechapishwa: 04/07/2021
Swali: Mimi ni mtu ambaye mara kwa mara natokwa na madhiy. Je, ni lazima kwangu pindi ninapotokwa na madhiy kuosha nguo zangu kwa sababu inakuwa vigumu kwangu kujiepusha nayo?
Jibu: Ndio, ni lazima kurashia [maji juu yake]. Madhiy ni najisi nyepesi. Inatosha kurashia. Lakini ni lazima kuosha dhakari na uke. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Osha dhakari na uke wako.”
Hekima – na Allaah ndiye mjuzi zaidi – ni kuepusha [madhara] katika mijira ya kutolea mkojo. Kwa hivyo nguo ikipatwa na kitu basi inatakiwa kurashiwa maji.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (20)
Imechapishwa: 04/07/2021
https://firqatunnajia.com/madhiy-yanapoingia-kwenye-nguo-au-mwili/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
