Swali 20: Baadhi ya wanawake wanaingiliwa na Ramadhaan ya pili ilihali hawajafunga Ramadhaan iliotangulia. Ni kinachowawajibikia?
Jibu: Ni lazima kwao kutubu kwa Allaah kutokana na kitendo hichi. Haijuzu kwa ambaye analo deni la Ramadhaan kuchelewesha mpaka katika Ramadhaan ya pili pasi na udhuru. ´Aaishah (Radhiya Allaahu ´anhaa) amesema:
“Nilikuwa nadaiwa funga na nashindwa kuilipa mpaka katika Sha´baan.”
Hii inafahamisha kwamba haifai kuchelewesha mpaka baada ya Ramadhaan ya pili. Ni lazima kwake kutubu kwa Allaah (´Azza wa Jall) kwa aliyofanya na pia alipe masiku aliyoyaacha baada ya Ramadhaan ya pili.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: 60 su-aal wa jawaab fiy Ahkaam-il-Haydhw, uk. 18-19
- Imechapishwa: 04/07/2021
Swali 20: Baadhi ya wanawake wanaingiliwa na Ramadhaan ya pili ilihali hawajafunga Ramadhaan iliotangulia. Ni kinachowawajibikia?
Jibu: Ni lazima kwao kutubu kwa Allaah kutokana na kitendo hichi. Haijuzu kwa ambaye analo deni la Ramadhaan kuchelewesha mpaka katika Ramadhaan ya pili pasi na udhuru. ´Aaishah (Radhiya Allaahu ´anhaa) amesema:
“Nilikuwa nadaiwa funga na nashindwa kuilipa mpaka katika Sha´baan.”
Hii inafahamisha kwamba haifai kuchelewesha mpaka baada ya Ramadhaan ya pili. Ni lazima kwake kutubu kwa Allaah (´Azza wa Jall) kwa aliyofanya na pia alipe masiku aliyoyaacha baada ya Ramadhaan ya pili.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: 60 su-aal wa jawaab fiy Ahkaam-il-Haydhw, uk. 18-19
Imechapishwa: 04/07/2021
https://firqatunnajia.com/20-ni-wajibu-kulipa-deni-la-ramadhaan-kabla-ya-kuingia-ramadhaan-nyingine/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)