Swali: Je, ni sahihi kwamba katika madhehebu ya Hanaabilah wanaona kuwa ndoa ya mitala inachukiza? Wanawake wengi wanataja jambo hili na wanalinasibisha na madhehebu.
Jibu: Ndio mambo yao. Ndio mambo ya wanawake. Sio maoni ya madhehebu. Haya ni madhehebu yao wao.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (36)
- Imechapishwa: 10/08/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)