Swali: Mke wa mtu amekufa. Je, inafaa kwa mwanaume kumuoa dada yake?

Jibu: Ndio, inafaa. Ni uharamu wa kipindi fulani tu.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (36)
  • Imechapishwa: 10/08/2023