Swali: Ni vipi tutajibu utetezi kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kwa vigezo vya Shari´ah? Je, maandamano ni njia moja wapo ya Kishari´ah?
Jibu: Kuwarudi maadui wa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kunakuwa kwa mujibu wa yale yaliyokuja katika Kitabu cha Allaah na Sunnah za Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Hatutakiwi kuzua vigezo wala istilahi kutoka kichwani mwetu. Wala hatutakiwi kuzua mambo ambayo hayakuweko hapo awali kama vile maandamano, kelele na mfano wa hayo.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Muhadhara: Innaa kafaynaak Tarehe: 1429-02-21/2008-02-28
- Imechapishwa: 29/08/2020
Swali: Ni vipi tutajibu utetezi kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kwa vigezo vya Shari´ah? Je, maandamano ni njia moja wapo ya Kishari´ah?
Jibu: Kuwarudi maadui wa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kunakuwa kwa mujibu wa yale yaliyokuja katika Kitabu cha Allaah na Sunnah za Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Hatutakiwi kuzua vigezo wala istilahi kutoka kichwani mwetu. Wala hatutakiwi kuzua mambo ambayo hayakuweko hapo awali kama vile maandamano, kelele na mfano wa hayo.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Muhadhara: Innaa kafaynaak Tarehe: 1429-02-21/2008-02-28
Imechapishwa: 29/08/2020
https://firqatunnajia.com/maandamo-ya-kumtetea-mtume/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket