Swali: Upamoja wa Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala).
Jibu: Kila mtu yuko pamoja na Allaah:
وَهُوَ مَعَكُمْ أَيْنَ مَا كُنتُمْ
”Naye Yu pamoja nanyi popote mlipo.”[1]
Bi maana kwa utambuzi na kuwaona Kwake (´Azza wa Jall) na wakati huohuo Yuko juu ya ´Arshi:
وَهُوَ مَعَكُمْ أَيْنَ مَا كُنتُمْ
”Naye Yu pamoja nanyi popote mlipo.”
Kwa utambuzi, kutuona Kwake, kutuzunguka Kwake na uwezo Wake juu yetu (Subhaanahu wa Ta´ala).
وَهُوَ مَعَكُمْ أَيْنَ مَا كُنتُم
”Naye Yu pamoja nanyi popote mlipo.”[2]
Bi maana kwa ujuzi na uwezo. Sambamba na hilo Yuko (Subhaanahu wa Ta´ala) juu ya ´Arshi na juu ya viumbe Wote.
[1] 57:04
[2] 57:04
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23120/ما-معنى-معية-الله-سبحانه-وتعالى
- Imechapishwa: 04/11/2023
Swali: Upamoja wa Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala).
Jibu: Kila mtu yuko pamoja na Allaah:
وَهُوَ مَعَكُمْ أَيْنَ مَا كُنتُمْ
”Naye Yu pamoja nanyi popote mlipo.”[1]
Bi maana kwa utambuzi na kuwaona Kwake (´Azza wa Jall) na wakati huohuo Yuko juu ya ´Arshi:
وَهُوَ مَعَكُمْ أَيْنَ مَا كُنتُمْ
”Naye Yu pamoja nanyi popote mlipo.”
Kwa utambuzi, kutuona Kwake, kutuzunguka Kwake na uwezo Wake juu yetu (Subhaanahu wa Ta´ala).
وَهُوَ مَعَكُمْ أَيْنَ مَا كُنتُم
”Naye Yu pamoja nanyi popote mlipo.”[2]
Bi maana kwa ujuzi na uwezo. Sambamba na hilo Yuko (Subhaanahu wa Ta´ala) juu ya ´Arshi na juu ya viumbe Wote.
[1] 57:04
[2] 57:04
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23120/ما-معنى-معية-الله-سبحانه-وتعالى
Imechapishwa: 04/11/2023
https://firqatunnajia.com/maana-ya-allaah-kuwa-pamoja-na-kila-mtu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)