Swali: Nikipitwa na Rak´ah na nikasimama kabla ya imamu kukamilisha kutoa Tasliym ya pili – ni ipi hukumu ya hilo?
Jibu: Haijuzu kwako kusimama mpaka imamu atoe Tasliym ya pili. Ukisimama kabla ya hilo swalah yako inakuwa ya naafilah. Unatakiwa kurudi kuiswali swalah ya faradhi. Kwa kuwa swalah ya faradhi ina Tasliym mbili. Unatakiwa kumfuata imamu. Kwa nini unasimama kabla hajakamilisha Tasliym?
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/leqa10-07-1435-01.mp3
- Imechapishwa: 13/12/2014
Swali: Nikipitwa na Rak´ah na nikasimama kabla ya imamu kukamilisha kutoa Tasliym ya pili – ni ipi hukumu ya hilo?
Jibu: Haijuzu kwako kusimama mpaka imamu atoe Tasliym ya pili. Ukisimama kabla ya hilo swalah yako inakuwa ya naafilah. Unatakiwa kurudi kuiswali swalah ya faradhi. Kwa kuwa swalah ya faradhi ina Tasliym mbili. Unatakiwa kumfuata imamu. Kwa nini unasimama kabla hajakamilisha Tasliym?
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/leqa10-07-1435-01.mp3
Imechapishwa: 13/12/2014
https://firqatunnajia.com/maamuma-kusimama-kabla-ya-tasliym-ya-pili-ya-imamu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)