Swali: Maoni sahihi wakati ambao imekatazwa kuswali baada ya alfajiri na baada ya alasiri unaanza baada ya kuingia wakati na kuadhiniwa au unaanza baada ya kumaliza kuswaliwa?
Jibu: Wakati wa alasiri ni kwa kule kuswaliwa swalah. Wakati wa alfajiri ni kwa kule kuchomoza jua. Isipokuwa tu Sunnah ya Fajr.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23702/متى-يبدا-وقت-النهي-بعد-الفجر-والعصر
- Imechapishwa: 06/04/2024
Swali: Maoni sahihi wakati ambao imekatazwa kuswali baada ya alfajiri na baada ya alasiri unaanza baada ya kuingia wakati na kuadhiniwa au unaanza baada ya kumaliza kuswaliwa?
Jibu: Wakati wa alasiri ni kwa kule kuswaliwa swalah. Wakati wa alfajiri ni kwa kule kuchomoza jua. Isipokuwa tu Sunnah ya Fajr.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23702/متى-يبدا-وقت-النهي-بعد-الفجر-والعصر
Imechapishwa: 06/04/2024
https://firqatunnajia.com/lini-unaanza-wakati-uliokatazwa-kuswali-alfajiri-na-alasiri/