Swali: Maoni sahihi wakati ambao imekatazwa kuswali baada ya alfajiri na baada ya alasiri unaanza baada ya kuingia wakati na kuadhiniwa au unaanza baada ya kumaliza kuswaliwa?
Jibu: Wakati wa alasiri ni kwa kule kuswaliwa swalah. Wakati wa alfajiri ni kwa kule kuchomoza jua. Isipokuwa tu Sunnah ya Fajr.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23702/متى-يبدا-وقت-النهي-بعد-الفجر-والعصر
- Imechapishwa: 06/04/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket