Swali: Ni ipi hukumu ya kunyanyua mikono wakati wa kuleta Takbiyr katika swalah ya jeneza?
Jibu: Hakuna neno. Imepokelewa kutoka kwa baadhi ya Maswahabah kwamba walinyanyua mikono katika zile Takbiyr nne.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (17)
- Imechapishwa: 19/09/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya kunyanyua mikono wakati wa kuleta Takbiyr katika swalah ya jeneza?
Jibu: Hakuna neno. Imepokelewa kutoka kwa baadhi ya Maswahabah kwamba walinyanyua mikono katika zile Takbiyr nne.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (17)
Imechapishwa: 19/09/2020
https://firqatunnajia.com/limefanywa-na-baadhi-ya-maswahabah/