Swali: Ni ipi hukumu ya kunyanyua mikono wakati wa kuleta Takbiyr katika swalah ya jeneza?
Jibu: Hakuna neno. Imepokelewa kutoka kwa baadhi ya Maswahabah kwamba walinyanyua mikono katika zile Takbiyr nne.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (17)
- Imechapishwa: 19/09/2020
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)