Swali: Migogoro ya kindoa imekuwa mingi ambapo nikaambiwa sababu ya hayo ni uchawi. Je, inafaa kwangu kwenda kwa wachawi ili wanizingue kitu hichi?
Jibu: Ni lazima kwako kufanya nyuradi za asubuhi na jioni, kumtaka msaada na kinga Allaah. Usende kwa wachawi.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (103) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-6-3-1441_1.mp3
- Imechapishwa: 16/01/2021
Swali: Migogoro ya kindoa imekuwa mingi ambapo nikaambiwa sababu ya hayo ni uchawi. Je, inafaa kwangu kwenda kwa wachawi ili wanizingue kitu hichi?
Jibu: Ni lazima kwako kufanya nyuradi za asubuhi na jioni, kumtaka msaada na kinga Allaah. Usende kwa wachawi.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (103) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-6-3-1441_1.mp3
Imechapishwa: 16/01/2021
https://firqatunnajia.com/kwenda-kwa-wachawi-kwa-sababu-ya-matatizo-ya-kindoa/