Swali: Mtu akiswali Maghrib kisha akairudi pamoja na mkusanyiko kwa kunuia swalah ya sunnah. Je, aiswali Rak´ah mbili au tatu?

Jibu: Akiirudi pamoja na mkusanyiko basi aiswali Rak´ah tatu. Kwa sababu swalah iliyopendekezwa ni yenye kuvuliwa pindi inaposwaliwa na mkusanyiko.

  • Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (18)
  • Imechapishwa: 16/01/2021