Swali: Kuna maeneo ya utalii maarufu yanayojulikana kuwa na maji ya afya na maeneo hayo yamepewa jina la kaburi fulani. Je, inafaa kwetu kwenda maeneo hayo? Je, inafaa kwetu kununua maji hayo yanayouzwa kwa lengo la kujitibu?
Jibu: Ikiwa watu wana imani fulani juu ya maeneo hayo, basi haijuzu kwenda huko kwa sababu katika hali hiyo mtakuwa wenye kusapoti jambo hilo.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (39)
- Imechapishwa: 01/06/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)