Swali: Ni ipi hukumu mtu asipotimiza Twawaaf ya kuaga (طواف الوداع) kwa sababu ya kutoweza?
Jibu: Ni lazima kwake kuirudia maadamu bado yuko hapo. Ikiwa amesharejea kwao, basi atoe kafara ya kuchinjwa. Kwa sababu ameacha wajibu miongoni mwa mambo ya wajibu ya hajj, ambalo ni Twawaaf ya kuaga.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (39)
- Imechapishwa: 01/06/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)