Mume ameondoka nyumbani kwa miaka kumi

Swali: Kuna mtu alitoka nyumbani kwake miaka kumi ya nyuma na hakurudia. Je, mke wake anaachika kwa jambo hilo?

Jibu: Hili lirejeshwe kwa Qaadhiy. Haya ni katika maswali ya mahakamani. Msikie Qaadhiy anasemaje.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (39)
  • Imechapishwa: 01/06/2023