Swali: Kuna mtu anamzuia msichana wake kusafiri kwenda kwa mume wake anayeishi Amerika. Hoja yake ni kwamba watoto watakuja kukulia maisha ya kimagharibi katika mji wa kikafiri. Hata hivyo mume wake anataka aende. Je, inajuzu kwake kumkabidhi naye kwa kuzingatia ya kwamba atakuwa amemuasi baba yake?
Jibu: Kwanza ni kwa nini mume anaishi Amerika? Ikiwa ni kwa ajili ya masomo, haja ambapo atarudi au kwa ajili ya matibabu, baba yake asimkatazi. Bali kwenda kwake ndio bora zaidi ili amlindie heshima yake. Ikiwa ni mume mzuri atawaangalia watoto na mke mpaka ataporudi.
Ama ikiwa mume anaishi katika mji wa kikafiri, haijuzu. Haijuzu kwake kuishi katika mji wa kikafiri na kukaa huko. Hivyo itakuwa haijuzu kwa mke kusafiri kwenda kwake.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Muqaddimati Ibn Abiy Zayd al-Qayrawaaniy fiyl-´Aqiydah (07) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/qir-14340205.mp3
- Imechapishwa: 18/06/2015
Swali: Kuna mtu anamzuia msichana wake kusafiri kwenda kwa mume wake anayeishi Amerika. Hoja yake ni kwamba watoto watakuja kukulia maisha ya kimagharibi katika mji wa kikafiri. Hata hivyo mume wake anataka aende. Je, inajuzu kwake kumkabidhi naye kwa kuzingatia ya kwamba atakuwa amemuasi baba yake?
Jibu: Kwanza ni kwa nini mume anaishi Amerika? Ikiwa ni kwa ajili ya masomo, haja ambapo atarudi au kwa ajili ya matibabu, baba yake asimkatazi. Bali kwenda kwake ndio bora zaidi ili amlindie heshima yake. Ikiwa ni mume mzuri atawaangalia watoto na mke mpaka ataporudi.
Ama ikiwa mume anaishi katika mji wa kikafiri, haijuzu. Haijuzu kwake kuishi katika mji wa kikafiri na kukaa huko. Hivyo itakuwa haijuzu kwa mke kusafiri kwenda kwake.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Muqaddimati Ibn Abiy Zayd al-Qayrawaaniy fiyl-´Aqiydah (07) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/qir-14340205.mp3
Imechapishwa: 18/06/2015
https://firqatunnajia.com/kwanini-mume-yuko-marekani/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)