Swali: Wasemaje kwa mwenye kusema:
“Uchawi ni ukhurafi na ni jambo lisilokuwa na uhakika”?
Jibu: Mwenye kufanya hivi ni kafiri. Kwa kuwa Allaah ametaja uchawi katika Qur-aan na akaubainisha Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Uchawi upo na ni hakika. Baadhi yake ni hakika, unamfanya mtu kuwa mgonjwa na kuua, na baadhi yake ni kiini macho [mazingaombwe]. Wote ni ukafiri. Mwenye kuupinga anakuwa kafiri, kwa kuwa ameikadhibisha Qur-aan.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://subulsalam.com/play.php?catsmktba=14579
- Imechapishwa: 05/05/2015
Swali: Wasemaje kwa mwenye kusema:
“Uchawi ni ukhurafi na ni jambo lisilokuwa na uhakika”?
Jibu: Mwenye kufanya hivi ni kafiri. Kwa kuwa Allaah ametaja uchawi katika Qur-aan na akaubainisha Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Uchawi upo na ni hakika. Baadhi yake ni hakika, unamfanya mtu kuwa mgonjwa na kuua, na baadhi yake ni kiini macho [mazingaombwe]. Wote ni ukafiri. Mwenye kuupinga anakuwa kafiri, kwa kuwa ameikadhibisha Qur-aan.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://subulsalam.com/play.php?catsmktba=14579
Imechapishwa: 05/05/2015
https://firqatunnajia.com/kwanini-asikufurishwe-anayepinga-uchawi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)