Swali: Je, mchawi anapouawa anaswaliwa na kuzikwa katika makaburi ya waislamu?

Jibu: Akiuawa haswaliwi na wala hazikwi katika makaburi ya waislamu. Anazikwa katika makaburi ya makafiri. Asizikwe katika makaburi ya Waislamu. Haswaliwi, haoshwi wala hakafiniwi.

  • Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: http://subulsalam.com/play.php?catsmktba=14579
  • Imechapishwa: 05/05/2015