Swali: Je, mchawi anapouawa anaswaliwa na kuzikwa katika makaburi ya waislamu?
Jibu: Akiuawa haswaliwi na wala hazikwi katika makaburi ya waislamu. Anazikwa katika makaburi ya makafiri. Asizikwe katika makaburi ya Waislamu. Haswaliwi, haoshwi wala hakafiniwi.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://subulsalam.com/play.php?catsmktba=14579
- Imechapishwa: 05/05/2015
Swali: Je, mchawi anapouawa anaswaliwa na kuzikwa katika makaburi ya waislamu?
Jibu: Akiuawa haswaliwi na wala hazikwi katika makaburi ya waislamu. Anazikwa katika makaburi ya makafiri. Asizikwe katika makaburi ya Waislamu. Haswaliwi, haoshwi wala hakafiniwi.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://subulsalam.com/play.php?catsmktba=14579
Imechapishwa: 05/05/2015
https://firqatunnajia.com/mchawi-kuzikwa-kwenye-makaburi-ya-waislamu/