Swali: Kuna mwanaume amemuoa mwanamke na akazaa naye. Baada ya kitambo ikambainikia kuwa ni dada yake wa kunyonya. Wafanye nini sasa? Mtoto anasibishwe kwa nani?
Jibu: Watoto watanasibishwa kwao wawili kwa sababu hii ni ndoa yenye utata. Ikithibiti kuwa wamechangia ziwa, basi wanatakiwa kutenganishwa. Watoto ni wa kwao kwa sababu ni ndoa yenye utata.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (36)
- Imechapishwa: 16/08/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)