Swali: Ni lipi jambo limewekwa katika Shari´ah wakati wa kula; kuzungumza au kunyamaza?
Jibu: Lililowekwa katika Shari´ah ni kusema “Bismillaah”. Ama kuhusu kuzungumza ni jambo linaloruhusiwa [mubaah]. Haina neno wakazungumza na ndugu zake na marafiki zake.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajhiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://subulsalam.com/play.php?catsmktba=4740
- Imechapishwa: 17/11/2014
Swali: Ni lipi jambo limewekwa katika Shari´ah wakati wa kula; kuzungumza au kunyamaza?
Jibu: Lililowekwa katika Shari´ah ni kusema “Bismillaah”. Ama kuhusu kuzungumza ni jambo linaloruhusiwa [mubaah]. Haina neno wakazungumza na ndugu zake na marafiki zake.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajhiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://subulsalam.com/play.php?catsmktba=4740
Imechapishwa: 17/11/2014
https://firqatunnajia.com/kuzungumza-wakati-wa-kula/