Swali: Ni ipi hukumu ya kutoa zawadi baadhi ya vitu ambavyo vinaweza kutumiwa katika kheri na shari kama mfano wa mikanda na kadhalika?
Jibu: Ukimpa zawadi mtu ambaye atavitumia katika kheri ni sawa. Ukimpa zawadi mtu ambaye atavitumia katika kheri vinakuwa ni vyenye kumsaidia katika kheri na kushirikiana katika wema na uchaji Allaah. Na ukimpa zawadi mtu ambaye unajua atavitumia katika shari unakuwa ni mwenye kushirikiana naye katika madhambi. Usimpe zawadi isipokuwa tu yule unayejua kuwa atavitumia katika kheri.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajhiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://subulsalam.com/play.php?catsmktba=4740
- Imechapishwa: 17/11/2014
Swali: Ni ipi hukumu ya kutoa zawadi baadhi ya vitu ambavyo vinaweza kutumiwa katika kheri na shari kama mfano wa mikanda na kadhalika?
Jibu: Ukimpa zawadi mtu ambaye atavitumia katika kheri ni sawa. Ukimpa zawadi mtu ambaye atavitumia katika kheri vinakuwa ni vyenye kumsaidia katika kheri na kushirikiana katika wema na uchaji Allaah. Na ukimpa zawadi mtu ambaye unajua atavitumia katika shari unakuwa ni mwenye kushirikiana naye katika madhambi. Usimpe zawadi isipokuwa tu yule unayejua kuwa atavitumia katika kheri.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajhiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://subulsalam.com/play.php?catsmktba=4740
Imechapishwa: 17/11/2014
https://firqatunnajia.com/kuzawadiana-vitu-ambavyo-vinaweza-kutumiwa-katika-kheri-na-shari-2/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)