Swali: Ndugu yake maiti, wakati anapomtembelea makaburini, inafaa kwake kukaa na kumweleza yanayoendelea juu yake na familia yake?
Jibu: Hapana. Amsalimie, amwombee du´aa, ni mamoja kwa kuketi chini au kwa kusimama, kisha aondoke zake. Ama kumweleza wanayofanya familia yake na kumpasha khabari na mfano wa hayo, haijuzu.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (39)
- Imechapishwa: 02/06/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)