Swali: Wakati mwingine watu huita ugonjwa wa kansa kuwa ni mabaya (خبيث).
Jibu: Sijui juu yake kitu. Ni kama mfano wa mtu kusema tende mbaya:
وَلَا تَيَمَّمُوا الْخَبِيثَ مِنْهُ تُنفِقُونَ
”Wala msikusudie vibaya kutoka humo mkavitoa.” (02:267)
Makusudio ya vichafu ni vibaya.
Swali: Huko sio kutukana maradhi?
Jibu: Hapana, sio kuyatukana.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22079/حكم-وصف-خبيث-لمرض-السرطان
- Imechapishwa: 22/10/2022
Swali: Wakati mwingine watu huita ugonjwa wa kansa kuwa ni mabaya (خبيث).
Jibu: Sijui juu yake kitu. Ni kama mfano wa mtu kusema tende mbaya:
وَلَا تَيَمَّمُوا الْخَبِيثَ مِنْهُ تُنفِقُونَ
”Wala msikusudie vibaya kutoka humo mkavitoa.” (02:267)
Makusudio ya vichafu ni vibaya.
Swali: Huko sio kutukana maradhi?
Jibu: Hapana, sio kuyatukana.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22079/حكم-وصف-خبيث-لمرض-السرطان
Imechapishwa: 22/10/2022
https://firqatunnajia.com/kuyasifu-maradhi-kuwa-ni-mabaya/