Swali: Sifa za mtu fasiki.
Jibu: Sifa za mtu fasiki ni kuwa anatangaza maasi, anatangaza uzinzi na anatangaza unywaji pombe. Hizi ndio sifa za fasiki. Anatangaza maasi na kuyaanika hadharani.
Swali: Je, muziki ni miongoni mwa sifa za ufuska?
Jibu: Maasi ya waziwazi. Ni kama mfano kuwaasi wazazi wawili, kunywa pombe, kusengenya waziwazi ikiwa mtu anachukulia wepesi jambo hilo na kulitangaza.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22078/ما-صفات-الفاسق
- Imechapishwa: 22/10/2022
Swali: Sifa za mtu fasiki.
Jibu: Sifa za mtu fasiki ni kuwa anatangaza maasi, anatangaza uzinzi na anatangaza unywaji pombe. Hizi ndio sifa za fasiki. Anatangaza maasi na kuyaanika hadharani.
Swali: Je, muziki ni miongoni mwa sifa za ufuska?
Jibu: Maasi ya waziwazi. Ni kama mfano kuwaasi wazazi wawili, kunywa pombe, kusengenya waziwazi ikiwa mtu anachukulia wepesi jambo hilo na kulitangaza.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22078/ما-صفات-الفاسق
Imechapishwa: 22/10/2022
https://firqatunnajia.com/sifa-za-fasiki-na-fasiki-ni-mtu-gani/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)