Swali: Baadhi ya watu wanasema kuwa pindi jogoo anawika kwamba amemuona Malaika.
Jibu: Imepokelewa katika Hadiyth kwamba:
“Amemuona Malaika.”
Mkimsikia basi semeni:
اللهم إني أسألك من فضلك
“Ee Allaah! Hakika mimi nakuomba kutokana na fadhilah Zako.”
Msimtukane.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Imechapishwa: 22/10/2022
Swali: Baadhi ya watu wanasema kuwa pindi jogoo anawika kwamba amemuona Malaika.
Jibu: Imepokelewa katika Hadiyth kwamba:
“Amemuona Malaika.”
Mkimsikia basi semeni:
اللهم إني أسألك من فضلك
“Ee Allaah! Hakika mimi nakuomba kutokana na fadhilah Zako.”
Msimtukane.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Imechapishwa: 22/10/2022
https://firqatunnajia.com/jogoo-anapowika/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)