Swali: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) hakumwambia aseme:
سبحان ربي العظيم
“Ametakasika Mola wangu aliyetukuka.”
سبحان ربي الأعلى
“Ametakasika Mola wangu, Aliye juu kabisa, kutokamana na mapungufu yote.”
Je, hakuna chochote kinachomlazimu mwenye kuweka:
سبحان ربي العظيم
“Ametakasika Mola wangu aliyetukuka.”
mahali pa:
سبحان ربي الأعلى
“Ametakasika Mola wangu, Aliye juu kabisa, kutokamana na mapungufu yote.”?
Jibu: Hapana. Imepokelewa katika dalili zingine. Maandiko yanatakiwa kuoanishwa. Imepokelewa katika matendo yake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Isitohe amesema:
“Swalini kama mlivyoniona nikiswali.”
Imepokelewa pia katika baadhi ya mapokezi kwamba akirukuu aseme:
سبحان ربي العظيم
“Ametakasika Mola wangu aliyetukuka.”
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23763/حكم-قول-ذكر-الركوع-في-السجود-والعكس
- Imechapishwa: 22/04/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)