Swali: Nikiwa na mbuzi mbili za kuwachinjia watoto. Inajuzu mmoja nikamchinja sehemu na mwingine kumchinja baadaye sehemu nyingine baada ya takriban siku kumi na tano?
Jibu: Inajuzu kuwatenganisha. Lakini hata hivyo ni jambo linaenda kinyume na ubora. Lililo bora zaidi ni kuwachinja wote kwa pamoja wakati mmoja na sehemu moja. Hili ndio bora zaidi.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Buluugh al-Maraam (34) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/12522
- Imechapishwa: 21/04/2015
Swali: Nikiwa na mbuzi mbili za kuwachinjia watoto. Inajuzu mmoja nikamchinja sehemu na mwingine kumchinja baadaye sehemu nyingine baada ya takriban siku kumi na tano?
Jibu: Inajuzu kuwatenganisha. Lakini hata hivyo ni jambo linaenda kinyume na ubora. Lililo bora zaidi ni kuwachinja wote kwa pamoja wakati mmoja na sehemu moja. Hili ndio bora zaidi.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Buluugh al-Maraam (34) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/12522
Imechapishwa: 21/04/2015
https://firqatunnajia.com/kuwatenganisha-wanyama-wa-aqiyqah/