Swali: Je, inajuzu kuitwa kwa jina la ´Uqaab kwa kuzingatia ya kwamba hili ni jina miongoni mwa majina ya ndege?
Jibu: Kizuizi kiko wapi? Lililokatazwa ni kuitwa kwa jina lililo la uabudiwa wa asiyekuwa Allaah. Kama kusema ´Abdur-Rasuul, ´Abdul-Husayn n.k. Majina kama haya ndio yamekatazwa. Ama kuhusu majina mengine ambayo hayana uabudiwa wa asiyekuwa Allaah hayana neno.
Hata hivyo imependekezwa kuitwa kwa jina zuri. Imependekezwa kumchagulia mtoto wako jina zuri. Hili ni kwa njia ya mapendekezo. Ama uharamu hauwepo isipokuwa tu pale ambapo jina litakuwa na uabudiwa wa asiyekuwa Allaah. Kama mfano wa ´Abdul-´Uzza, ´Abdul-Ka´bah, ´Abdur-Rasuul, ´Abdul-Husayn n.k. Majina kama haya ni haramu na hayajuzu. Ibn Hazm (Rahimahu Allaah) amesema:
“Wamekubaliana juu ya uharamu wa kila jina lililo la uabudiwa wa asiyekuwa Allaah isipokuwa tu ´Abdul-Muttwalib.”
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Buluugh al-Maraam (13) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/blug–1430-8-13.mp3
- Imechapishwa: 19/04/2015
Swali: Je, inajuzu kuitwa kwa jina la ´Uqaab kwa kuzingatia ya kwamba hili ni jina miongoni mwa majina ya ndege?
Jibu: Kizuizi kiko wapi? Lililokatazwa ni kuitwa kwa jina lililo la uabudiwa wa asiyekuwa Allaah. Kama kusema ´Abdur-Rasuul, ´Abdul-Husayn n.k. Majina kama haya ndio yamekatazwa. Ama kuhusu majina mengine ambayo hayana uabudiwa wa asiyekuwa Allaah hayana neno.
Hata hivyo imependekezwa kuitwa kwa jina zuri. Imependekezwa kumchagulia mtoto wako jina zuri. Hili ni kwa njia ya mapendekezo. Ama uharamu hauwepo isipokuwa tu pale ambapo jina litakuwa na uabudiwa wa asiyekuwa Allaah. Kama mfano wa ´Abdul-´Uzza, ´Abdul-Ka´bah, ´Abdur-Rasuul, ´Abdul-Husayn n.k. Majina kama haya ni haramu na hayajuzu. Ibn Hazm (Rahimahu Allaah) amesema:
“Wamekubaliana juu ya uharamu wa kila jina lililo la uabudiwa wa asiyekuwa Allaah isipokuwa tu ´Abdul-Muttwalib.”
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Buluugh al-Maraam (13) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/blug–1430-8-13.mp3
Imechapishwa: 19/04/2015
https://firqatunnajia.com/kuwapa-watoto-wachanga-majina-ya-ndege/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)