Swali: Kuna mtu jina lake anaitwa ´Abdul-Muhsin. Je, inajuzu kumwita ´Muhsin` tu kwa kuwa nimeambiwa kuwa ni Jina miongoni mwa Majina ya Allaah na hivyo haijuzu kumwita kwa jina hilo?
Jibu: Maadamu jina lake anaitwa ´Abdul-Muhsin mwite hivo. Mwite kwa jina lake kamilifu.
Lakini tukikadiria kuwa ataitwa Muhsin hakuna neno kufanya hivo. Haina neno akaitwa Muhsin. Muhsin linatokamana na Ihsaan. Mtu pia anafanya wema na anaitwa Muhsin:
إِنَّ اللَّـهَ يُحِبُّ الْمُحْسِنِينَ |
“Hakika Allaah Anapenda watendao wema.” (02:195) |
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Buluugh al-Maraam (13) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/blug–1430-8-13.mp3
Swali: Kuna mtu jina lake anaitwa ´Abdul-Muhsin. Je, inajuzu kumwita ´Muhsin` tu kwa kuwa nimeambiwa kuwa ni Jina miongoni mwa Majina ya Allaah na hivyo haijuzu kumwita kwa jina hilo?
Jibu: Maadamu jina lake anaitwa ´Abdul-Muhsin mwite hivo. Mwite kwa jina lake kamilifu.
Lakini tukikadiria kuwa ataitwa Muhsin hakuna neno kufanya hivo. Haina neno akaitwa Muhsin. Muhsin linatokamana na Ihsaan. Mtu pia anafanya wema na anaitwa Muhsin:
إِنَّ اللَّـهَ يُحِبُّ الْمُحْسِنِينَ
“Hakika Allaah Anapenda watendao wema.” (02:195)
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Buluugh al-Maraam (13) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/blug–1430-8-13.mp3
https://firqatunnajia.com/kumwita-mtu-muhsin/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)