Kuwaacha huru watumwa wa kiafrika

Swali: Katika baadhi ya miji ya Afrika inasemekana kuwa bado kuna watumwa. Mambo yakiwa ni hivo, mtu anaweza kuwanunua watumwa hawa na kuwaacha huru kwa lengo la kutoa kafara?

Jibu: Ikiwa watumwa hawa kweli wanamilikiwa na wanawauza na kuwanunua, inafaa kuyafanyia kazi. Hakuna tunachoangalia isipokuwa kinachodhihiri.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (45)
  • Imechapishwa: 19/07/2024