Swali: Je, pindi mtu anapozungumzia kiongozi pekee ndiye anayetakiwa kutekeleza adhabu ni yule imamu wa msikiti?
Jibu: Ni nani aliyesema haya? Ni kiongozi wa jumla, kiongozi wa waislamu, ndiye ambaye anatekeleza adhabu za kidini. Kila imamu wa msikiti anatekeleza adhabu?
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (45)
- Imechapishwa: 19/07/2024
Swali: Je, pindi mtu anapozungumzia kiongozi pekee ndiye anayetakiwa kutekeleza adhabu ni yule imamu wa msikiti?
Jibu: Ni nani aliyesema haya? Ni kiongozi wa jumla, kiongozi wa waislamu, ndiye ambaye anatekeleza adhabu za kidini. Kila imamu wa msikiti anatekeleza adhabu?
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (45)
Imechapishwa: 19/07/2024
https://firqatunnajia.com/imamu-wa-msikiti-anatekeleza-adhabu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)