Swali: Vipi kuhusu kupeana ardhi sasa na kuiuza kabla ya kuipokea?
Jibu: Hilo halijuzu mpaka aimiliki. Anatakiwa apewe hati yake na aimiliki. Kunaingia pia ardhi ambapo haifai kwake kuiuza mpaka aimiliki. Kwa maana nyingine mpaka apewe hati yake na jambo liwe la kihakika. Haitakiwi kuwa udanganyifu.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24438/هل-يجوز-بيع-الاراضي-قبل-الاستلام-والقبض
- Imechapishwa: 11/10/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)