Swali: Kafiri anayehitajika katika Bara Arabu ataachiwa aingie kutokana na manufaa fulani kwa kuzingatia kitendo cha Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na watu wa Khaybar?
Jibu: Hili linarejea kutokana na vile anavyoona mtawala manufaa ya waislamu yakipelekea hivo kwa kipindi cha muda fulani.
Swali: Mtu anaweza kusema kwamba makusudio ya kuwatoa ni pale kunapokhofiwa wao kuwa na nguvu na si anapokuwa ni mtu mmojammoja?
Jibu: Andiko ni lenye kuenea.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24437/حكم-استقدام-كافر-في-جزيرة-العرب-لمصلحة
- Imechapishwa: 11/10/2024
Swali: Kafiri anayehitajika katika Bara Arabu ataachiwa aingie kutokana na manufaa fulani kwa kuzingatia kitendo cha Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na watu wa Khaybar?
Jibu: Hili linarejea kutokana na vile anavyoona mtawala manufaa ya waislamu yakipelekea hivo kwa kipindi cha muda fulani.
Swali: Mtu anaweza kusema kwamba makusudio ya kuwatoa ni pale kunapokhofiwa wao kuwa na nguvu na si anapokuwa ni mtu mmojammoja?
Jibu: Andiko ni lenye kuenea.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24437/حكم-استقدام-كافر-في-جزيرة-العرب-لمصلحة
Imechapishwa: 11/10/2024
https://firqatunnajia.com/hili-ni-kutokana-na-vile-anavyoona-mtawala/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)