Swali: Ni ipi hukumu ya kutumia Qur-aan wakati mmoja wetu anapofikwa na kitu katika mambo ya dini? Kwa mfano mmoja wetu kusema pale anapofikwa na matatizo au dhiki:
تَؤُزُّهُمْ أَزًّا
“Wawachochee kwa uchochezi”
Au wakati anapokutana na rafiki yake:
جِئْتَ عَلَىٰ قَدَرٍ يَا مُوسَىٰ
“Kisha ukaja [kwa miadi] ya makadirio, ee Muusa.” (20:40)
Au wakati anapotaka kula:
كُلُوا وَاشْرَبُوا هَنِيئًا بِمَا أَسْلَفْتُمْ فِي الْأَيَّامِ الْخَالِيَةِ
“Kuleni na kunyweni kwa furaha kwa yale mliyoyatanguliza katika siku nyingi zilopita.”? (69:24)
Na Aayah nyinginezo ambazo zinatumiwa na watu leo.
Jibu: Bora ni kuacha kutumia maneno kama hayo na mfano wake ili kuitakasa Qur-aan na kuilinda na yasiyostahiki.
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (4/56)
- Imechapishwa: 22/08/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya kutumia Qur-aan wakati mmoja wetu anapofikwa na kitu katika mambo ya dini? Kwa mfano mmoja wetu kusema pale anapofikwa na matatizo au dhiki:
تَؤُزُّهُمْ أَزًّا
“Wawachochee kwa uchochezi”
Au wakati anapokutana na rafiki yake:
جِئْتَ عَلَىٰ قَدَرٍ يَا مُوسَىٰ
“Kisha ukaja [kwa miadi] ya makadirio, ee Muusa.” (20:40)
Au wakati anapotaka kula:
كُلُوا وَاشْرَبُوا هَنِيئًا بِمَا أَسْلَفْتُمْ فِي الْأَيَّامِ الْخَالِيَةِ
“Kuleni na kunyweni kwa furaha kwa yale mliyoyatanguliza katika siku nyingi zilopita.”? (69:24)
Na Aayah nyinginezo ambazo zinatumiwa na watu leo.
Jibu: Bora ni kuacha kutumia maneno kama hayo na mfano wake ili kuitakasa Qur-aan na kuilinda na yasiyostahiki.
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (4/56)
Imechapishwa: 22/08/2020
https://firqatunnajia.com/kutumia-aayah-za-qur-aan-katika-mazungumzo-ya-kawaida/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)