Swali: Ni ipi hukumu ya kutoka nje ya msikiti baada ya adhaana kwa njia endelevu?
Jibu: Ikiwa anatoka kwa ajili ya manufaa, kwa mfano anaenda katika msikiti ambao anaswalisha au anatoka kwa ajili ya kutatua mahitaji yake na pengine hatorudi, ni kitu kinachofaa. Lakini muadhini akishaadhini na akawa hana udhuru unaokubalika katika Shari´ah, basi itambulike kuwa siku moja Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anh) alimuona mtu ambaye anafanya jambo hilo ambapo akasema:
“Kuhusu huyu hakika amemuasi Abul-Qaasim (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah Aalish-Shaykh
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.mufti.af.org.sa/ar/content/
- Imechapishwa: 11/06/2022
Swali: Ni ipi hukumu ya kutoka nje ya msikiti baada ya adhaana kwa njia endelevu?
Jibu: Ikiwa anatoka kwa ajili ya manufaa, kwa mfano anaenda katika msikiti ambao anaswalisha au anatoka kwa ajili ya kutatua mahitaji yake na pengine hatorudi, ni kitu kinachofaa. Lakini muadhini akishaadhini na akawa hana udhuru unaokubalika katika Shari´ah, basi itambulike kuwa siku moja Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anh) alimuona mtu ambaye anafanya jambo hilo ambapo akasema:
“Kuhusu huyu hakika amemuasi Abul-Qaasim (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah Aalish-Shaykh
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://www.mufti.af.org.sa/ar/content/
Imechapishwa: 11/06/2022
https://firqatunnajia.com/kutoka-nje-ya-msikiti-baada-ya-adhaana-ii/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)