Swali: Je, inafaa kwa mwanamke aliyeachika talaka rejea anayo haki ya kutoka katika nyumba ya mume wake pasi na idhini yake?
Jibu: Hapana. Bado ni mke. Maadamu yuko ndani ya eda bado ni mke. Kwa hivyo ni lazima kwanza apate idhini yake.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (39)
- Imechapishwa: 03/06/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)