Swali: Ni yepi maoni yenye nguvu juu ya ambaye anaacha swalah hali ya uvivu na uzembe? Je, anakuru kwa kitendo hicho?
Jibu: Ndio, anakufuru. Udhahiri wa Hadiyth ni kwamba anakufuru. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Yule mwenye kusahau swalah au akapitikiwa na usingizi, basi aiswali pale atakapoikumbuka. Haina kafara nyingine isipokuwa hiyo.”[1]
Aliyeacha kwa makusudi anatakiwa kutubu kwa Allaah. Anatakiwa kuharakisha kutubia na kuanza kuswali.
[1] al-Bukhaariy na Muslim.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (39)
- Imechapishwa: 03/06/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)