Swali: Je, inafaa kwa Muhrim, katika hajj au ´umrah, kuchanganyika na mke wake na kumbusu? Ni kipi kinachompasa endapo atatokwa na manii?
Jibu: Haijuzu kwake kufanya hivo. Akitokwa na manii, basi anatakiwa kutoa fidia.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (39)
- Imechapishwa: 03/06/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)