Kuchanganyika na mke wakati wa Ihraam

Swali: Je, inafaa kwa Muhrim, katika hajj au ´umrah, kuchanganyika na mke wake na kumbusu? Ni kipi kinachompasa endapo atatokwa na manii?

Jibu: Haijuzu kwake kufanya hivo. Akitokwa na manii, basi anatakiwa kutoa fidia.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (39)
  • Imechapishwa: 03/06/2023