Swali: Baadhi ya watu wa Peponi watamuona Allaah zaidi kuliko wengine?
Jibu: Wakazi wote wa Peponi watamuona. Hata hivyo wanatofautiana; baadhi yao wako juu zaidi na hivyo watamuona zaidi.
Swali: Mara ngapi?
Jibu: Nimesema baadhi yao watamuona zaidi kutegemea na kumcha kwao Allaah, kumwamini kwao na ngazi zao Peponi. Miongoni mwao wako ambao watamuona kwa makisio ya asubuhi na jioni.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22748/هل-يتفاوت-المومنون-في-روية-ربهم-بالجنة
- Imechapishwa: 17/08/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)