Swali: Ni lazima kwa mwenye kutaka kusoma Qur-aan atawadhe?
Jibu: Hapana vibaya akasoma kimoyoni pasi na msahafu akiwa hana janaba. Kwa maana nyingine akiwa hana twahara asome kihifdhi.
Swali: Ni lazima kuwa na wudhuu´ kwa ajili ya kugusa msahafu?
Jibu: Ndio, ni lazima kuwa na wudhuu´.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22243/حكم-الوضوء-لمن-اراد-ان-يقرا-القران
- Imechapishwa: 19/01/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)