Swali: Baadhi ya watu wa zama hizi wamefariki muda si mrefu sana na wako na Bid´ah kubwakubwa na watu wanawatukuza na kutukuza na kusambaza vitabu vyao.
Jibu: Watahadharishe kwamba ni katika Ahl-ul-Bid´ah. Watahadharishe kama ambavo Allaah aliwatahadharisha watu wa Huud, watu wa Swaalih, watu wa Nuuh, watu wa Shu´ayb na watu wa Luutw kutokana na ubaya wao.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23438/حكم-التحذير-من-بدع-شخص-توفي
- Imechapishwa: 20/01/2024
Swali: Baadhi ya watu wa zama hizi wamefariki muda si mrefu sana na wako na Bid´ah kubwakubwa na watu wanawatukuza na kutukuza na kusambaza vitabu vyao.
Jibu: Watahadharishe kwamba ni katika Ahl-ul-Bid´ah. Watahadharishe kama ambavo Allaah aliwatahadharisha watu wa Huud, watu wa Swaalih, watu wa Nuuh, watu wa Shu´ayb na watu wa Luutw kutokana na ubaya wao.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23438/حكم-التحذير-من-بدع-شخص-توفي
Imechapishwa: 20/01/2024
https://firqatunnajia.com/kutahadharisha-wafu-walioacha-bidah-na-wanaotukuzwa-na-watu/