Swali: Baadhi ya watu wanapoambiwa wasimtie aibu fulani wanajibu kwamba watu hawamtambui isipokuwa kwa kumtambulisha kwa aibu yake.
Jibu: Hapa ni pale ambapo anatambulika kwa njia hiyo. Katika hali hiyo haidhuru. Ni kama mfano wa inaposemwa al-A´mash (mgonjwa wa macho) na al-A´raj (kiguru). Kuna wanafunzi wa Maswahabah waliokuwa wakiitwa hivo. Wote hawa ni wanafunzi wa Maswahabah na wapokezi wanaoaminika. Walikuwa wakitambulika kwa majina hayo. Vivyo hivyo al-A´war (chongo) alitambulika kwa jina hilo. Kwa hivyo haiwi usengenyi muda wa kuwa ndio jina analotambulika kwalo. Katika hali hiyo haiwi usengenyi.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23437/حكم-مناداة-الشخص-بعيب-لا-يعرف-الا-به
- Imechapishwa: 20/01/2024
Swali: Baadhi ya watu wanapoambiwa wasimtie aibu fulani wanajibu kwamba watu hawamtambui isipokuwa kwa kumtambulisha kwa aibu yake.
Jibu: Hapa ni pale ambapo anatambulika kwa njia hiyo. Katika hali hiyo haidhuru. Ni kama mfano wa inaposemwa al-A´mash (mgonjwa wa macho) na al-A´raj (kiguru). Kuna wanafunzi wa Maswahabah waliokuwa wakiitwa hivo. Wote hawa ni wanafunzi wa Maswahabah na wapokezi wanaoaminika. Walikuwa wakitambulika kwa majina hayo. Vivyo hivyo al-A´war (chongo) alitambulika kwa jina hilo. Kwa hivyo haiwi usengenyi muda wa kuwa ndio jina analotambulika kwalo. Katika hali hiyo haiwi usengenyi.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23437/حكم-مناداة-الشخص-بعيب-لا-يعرف-الا-به
Imechapishwa: 20/01/2024
https://firqatunnajia.com/pale-ambapo-mlemavu-anatambulika-kwa-upungufu-wake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)