Swali: Ni kipi kigezo cha ufuska?
Jibu: Ufuska ni kudhihirisha na kuyaendeleza maasi yaliyoko kati yake yeye na Allaah. Ufuska ni kwa yale yaliyoko kati yako wewe na Allaah. Kule kuyadhihirisha ndio ufuska. Kunasemwa kuwa mtu amefanya ufuska kwa maana ya kwamba ametoka katika utiifu.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23434/ما-معنى-الفسق-وما-ضابطه
- Imechapishwa: 20/01/2024
Swali: Ni kipi kigezo cha ufuska?
Jibu: Ufuska ni kudhihirisha na kuyaendeleza maasi yaliyoko kati yake yeye na Allaah. Ufuska ni kwa yale yaliyoko kati yako wewe na Allaah. Kule kuyadhihirisha ndio ufuska. Kunasemwa kuwa mtu amefanya ufuska kwa maana ya kwamba ametoka katika utiifu.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23434/ما-معنى-الفسق-وما-ضابطه
Imechapishwa: 20/01/2024
https://firqatunnajia.com/kigezo-cha-ufuska/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)