Swali: Ambaye anamwita mwenzake kuwa ni nguruwe na mnyama?
Jibu: Aambiwe kuwa na yeye ni nguruwe na mnyama. Hayo tu basi yanatosha na asizidishe. Asisemehe na kupuuzia.
Swali: Ni ipi hukumu yake?
Jibu: Hukumu yake ni maovu. Haijuzu. Lakini inafaa kwake akalipiza kisasi na kusema kama alivosema.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23433/حكم-اطلاق-كلمة-خنزير-وحيوان-على-معين
- Imechapishwa: 20/01/2024
Swali: Ambaye anamwita mwenzake kuwa ni nguruwe na mnyama?
Jibu: Aambiwe kuwa na yeye ni nguruwe na mnyama. Hayo tu basi yanatosha na asizidishe. Asisemehe na kupuuzia.
Swali: Ni ipi hukumu yake?
Jibu: Hukumu yake ni maovu. Haijuzu. Lakini inafaa kwake akalipiza kisasi na kusema kama alivosema.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23433/حكم-اطلاق-كلمة-خنزير-وحيوان-على-معين
Imechapishwa: 20/01/2024
https://firqatunnajia.com/mwambie-pia-na-yeye-ni-nguruwe-na-mnyama/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)