Swali: Mwenye kuswali Rak´ah 12 usiku na mchana basi Allaah atamjengea msikiti Peponi…
Jibu: Msikiti au nyumba? Anachomaanisha ni nyumba.
Mwanafunzi: Ameandika msikiti.
al-Fawzaan: Peponi hakuna misikiti wala hakuna kufanya kazi. Allaah atamjengea nyumba na sio msikiti.
Swali: Lau Rak´ah mbili za baada ya Maghrib na ´Ishaa badala yake ataziswali katika swalah ya usiku kitendo hichi kinajuzu?
Jibu: Hapana. Hizi ni Raatibah. Raatibah sio Qiyaam-ul-Layl. Hizi zinafuatana na swalah za faradhi. Rak´ah hizi sio katika Qiyaam-ul-Layl.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Buluugh al-Maraam (13) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/blug–1430-8-13.mp3
- Imechapishwa: 19/04/2015
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket