Swali: Kuna mtu amemtaliki mke wake na halafu akamrudi na kumpa pesa kiwango fulani ili kumpoza. Mke wa pili na yeye anaomba pesa kiwango hicho hicho. Je, mke huyu wa pili ana haki ya hilo?
Jibu: Kwa minajili ya kuzuia madhara na kuepuka mizozo ampe kitu kitachomridhisha. Ama kusema ni wajibu sio wajibu. Hakuna lililo la wajibu kwake isipokuwa kupewa matumizi, mavazi, nyumba na makazi. Yanayozidi juu ya haya inakuwa tu ni kwa njia ya kuishi kwa wema na kuboresha ujumba.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Buluugh al-Maraam (13) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/blug–1430-8-13.mp3
- Imechapishwa: 19/04/2015
Swali: Kuna mtu amemtaliki mke wake na halafu akamrudi na kumpa pesa kiwango fulani ili kumpoza. Mke wa pili na yeye anaomba pesa kiwango hicho hicho. Je, mke huyu wa pili ana haki ya hilo?
Jibu: Kwa minajili ya kuzuia madhara na kuepuka mizozo ampe kitu kitachomridhisha. Ama kusema ni wajibu sio wajibu. Hakuna lililo la wajibu kwake isipokuwa kupewa matumizi, mavazi, nyumba na makazi. Yanayozidi juu ya haya inakuwa tu ni kwa njia ya kuishi kwa wema na kuboresha ujumba.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Buluugh al-Maraam (13) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/blug–1430-8-13.mp3
Imechapishwa: 19/04/2015
https://firqatunnajia.com/ni-yepi-yaliyo-wajibu-kwa-mume-juu-ya-mke-wake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)