Swali: Je, inajuzu kuswali kwenye msikiti uliojengwa na kafiri kwa malengo ya kuwatendea wema waislamu?
Jibu: Ikiwa ni katika mali ya halali ni sawa.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Buluugh al-Maraam (09) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14705
- Imechapishwa: 19/04/2015
Swali: Je, inajuzu kuswali kwenye msikiti uliojengwa na kafiri kwa malengo ya kuwatendea wema waislamu?
Jibu: Ikiwa ni katika mali ya halali ni sawa.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Buluugh al-Maraam (09) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14705
Imechapishwa: 19/04/2015
https://firqatunnajia.com/kuswali-kwenye-msikiti-uliojengwa-na-kafiri-2/