Swali: Kuna mtu ana deni kwenye benki moja. Kuna mtu mwingine anataka kumlipia deni hili kwa sharti ampe faida. Kuna njia wanayofanya mfano wa hii na siijui vizuri. Ni ipi hukumu?
Jibu: Haijuzu kumlipia deni kwa faida. Hii ni Ribaa.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Buluugh al-Maraam (09) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14705
- Imechapishwa: 19/04/2015
Swali: Kuna mtu ana deni kwenye benki moja. Kuna mtu mwingine anataka kumlipia deni hili kwa sharti ampe faida. Kuna njia wanayofanya mfano wa hii na siijui vizuri. Ni ipi hukumu?
Jibu: Haijuzu kumlipia deni kwa faida. Hii ni Ribaa.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Buluugh al-Maraam (09) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14705
Imechapishwa: 19/04/2015
https://firqatunnajia.com/kumlipia-mtu-deni-kwa-faida/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)