Swali: Nilifunga swawm ya alkhamisi na wakati nilipolala nikaota. Ni ipi hukumu ya swawm hii?
Jibu: Ndoto haidhuru swawm yako kwa kuwa ni kitu kinachotendeka bila kupenda kwako. Unachotakiwa kufanya ni kuoga josho la janaba tu.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Buluugh al-Maraam (09) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14705
- Imechapishwa: 19/04/2015
Swali: Nilifunga swawm ya alkhamisi na wakati nilipolala nikaota. Ni ipi hukumu ya swawm hii?
Jibu: Ndoto haidhuru swawm yako kwa kuwa ni kitu kinachotendeka bila kupenda kwako. Unachotakiwa kufanya ni kuoga josho la janaba tu.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Buluugh al-Maraam (09) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14705
Imechapishwa: 19/04/2015
https://firqatunnajia.com/ndoto-haivunji-swawm/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)